Mkuki Na Nyota Publishers

Washindi wa Tuzo ya Kimataifa ya Kiswahili – #TuzoYaSafal

UONGOZI Institute na Sokoine University of Agriculture

Kitabu hiki kinakusafirisha hadi kwenye eneo la ajali iliyokatisha uhai wa kiongozi huyu shupavu, na kinatoa maelezo ya mashuhuda wa ajali hiyo na hata uvumi uliosambaa baada ya kifo chake.

Xi Jinping

Kitabu hiki ni Tafsiri ya “Up & Out of Poverty” kilichoandikwa na Xi Jinping, Rais wa China. Kimejaa mipango, mbinu na mikakati iliyowezesha nchi ya China kuweza kuinua zaidi ya watu Mil 800 kutoka umaskini.

Ali Hassan Mwinyi

Mjue Mhe. Ali Hassan Mwinyi kutoka katika maneno yake mwenyewe soma Tawasifu yake aliyoipa jina ‘Mzee Rukhsa: Safari ya Maisha Yangu’

Forthcoming

Peponi

Abdulrazak Gurnah
Translated by Ida Hadjivayanis

A Nobel Prize-winning novel
now available in Kiswahili

Ukombozi wa Wanyama

Peter Singer
Deogratius Simba (Mfasiri)

“Kama nisingekuwa na budi kuchagua kitabu kilichoniletea mabadiliko makubwa, basi ningesema ‘Ukombozi wa Wanyama’ cha Peter Singer.”
— Jane Goodall

Author Experience

Abdulrazak Gurnah

Abdulrazak Gurnah was awarded the Nobel Prize in Literature in 2021. This is a Swahili translation of his 1994 novel, Paradise. The translator is Ida Hadjivayanis, Senior Lecturer in Swahili Studies, SOAS University of London.

From the Community

Uzinduzi wa Kitabu Mara Yangu ya Kwanza cha Balozi Christopher Liundi Umefanyika Jijini Dar es Salaam.

Uzinduzi wa Kitabu Mara Yangu ya Kwanza cha Balozi Christopher Liundi Umefanyika Jijini Dar es Salaam.

Mkuki na Nyota Publishers kwa fahari kubwa imefanya uzinduzi wa kitabu, Mara Yangu ya Kwanza, kumbukumbu binafsi za Balozi Christopher Liundi, mwanadiplomasia na mtumishi wa…

Simulizi ya Ujasiri: Kuishi na Saratani yaani “Living with Cancer” ya Profesa Mark Mwandosya Yazinduliwa Rasmi

Simulizi ya Ujasiri: Kuishi na Saratani yaani “Living with Cancer” ya Profesa Mark Mwandosya Yazinduliwa Rasmi

Dar es Salaam, 1 Agosti 2025 – Tukio lililojaa hisia lililofanyika katika hoteli ya Four Points by Sheraton, kumbukumbu ya maisha ya Profesa Mark J. Mwandosya.…