Mkuki Na Nyota Publishers

Uswahilini

Author(s): Ally Bakari Mchanyato, Dar es Salaam, diwani, Ilala, Kiswahili, Safal-Cornell 2023, ushairi, Uswahilini

Sh 18,000

Diwani ya ushairi ya Kiswahili ya Ally Bakari Mchanyato, mshindi wa kwanza wa Tuzo ya Safal-Cornell 2023 katika kipengele cha ushairi. Inampinga dhana ya uswahilini kama sehemu ya vituko na inamulika hali halisi: mapenzi, elimu, siasa, dini, uchumi, malezi, na haki za wanawake. Mwandishi kutoka Ilala.

Diwani ya ushairi ya Kiswahili iliyoandikwa na Ally Bakari Mchanyato, mshindi wa kwanza wa Tuzo ya Kiswahili ya Safal-Cornell ya Fasihi ya Afrika ya mwaka 2023 katika kipengele cha ushairi. Mbali na dhana iliyotawala kwenye jamii kwamba Uswahilini ni sehemu iliyosheheni vituko na maovu yaliyokubuhu, na misemo iliyoenea kuwa Waswahili ni watu wasioishiwa visa na mikasa, mwandishi wa diwani hii ameukumbatia Uswahili kwa kuimulika hali halisi ya maisha yaliyopo na mambo yatokeayo: mapenzi, elimu na mbinu za kuitafuta, siasa, dini na nasaha zake njema, mbinu za kujikwamua kiuchumi, malezi, na haki za wanawake. Waswahili si watu wa kubezwa na kushushwa hadhi. Hakika Uswahilini kuna mengi mazuri ya kuwasaidia Waswahili na jamii zinazochangamana nao. Mchanyato ni mzaliwa wa Ilala jijini Dar es Salaam, mjasiriamali aliyeanza kuandika mwaka 1998.

Dimensions 195 × 130 mm
Binding

Reviews

There are no reviews yet.

Be the first to review “Uswahilini”

Your email address will not be published. Required fields are marked *

You may also like…