Siku ya Kiswahili
Mkuki na Nyota tukisherehekea Siku ya Kiswahili duniani pamoja na wanafasihi ya kiswahili pale @af_dar ambao ni wadau wetu katika sherehe yetu ya kila mwezi ya #KalamSalaam Tuliandaa mjadala kuhusu ‘Athari za lugha ya Kiswahili kwenye Fasihi’ ambapo tulijifunza kutoka jopo la wanafasihi…