Wasifu mfupi wa John Thomas Mhina Sepeku, aliyekuwa Askofu wa kwanza wa Kanisa Anglikana Dayosisi ya Dar es Salaam, na Askofu Mkuu wa kwanza wa Kanisa Anglikana Tanzania. Historia hii imetegemea sana maelezo kutoka kwa watu mbalimbali waliomjua katika uhai wake, pamoja na kumbukumbu kutoka katika nyaraka mbalimbali. Ni miaka zaidi ya mia moja tangu kuzaliwa kwa Askofu Mkuu Sepeku na miaka arobaini na tatu tangu afariki dunia. Ingawa makusudio ni historia ya Askofu Mkuu Sepeku, kitabu pia kinatoa historia fupi ya Kanisa Anglikana Tanzania, baadhi ya shule zake na vyuo vyake, na watu wengine wa kikanisa. Mwandishi Jaji Ramadhani, mzaliwa wa Kiungani Unguja Zanzibar, alikuwa Katibu wa Halmashauri ya Mtaa wa Mtakatifu Albano wakati Sepeku akiwa Askofu wa Dayosisi ya Dar es Salaam.

John Thomas Mhina Sepeku
Author(s): Dar es Salaam, dini, Jaji Ramadhani, John Thomas Mhina Sepeku, Kanisa Anglikana, Tanzania, wasifu, Zanzibar
Sh 25,000
Wasifu mfupi wa Kiswahili wa Askofu Mkuu John Thomas Mhina Sepeku, Askofu wa kwanza wa Kanisa Anglikana Dayosisi ya Dar es Salaam na Askofu Mkuu wa kwanza wa Kanisa Anglikana Tanzania. Imeandikwa na Jaji Ramadhani, mzaliwa wa Zanzibar aliyemfahamu Sepeku katika shughuli za kanisa. Pia inatoa historia fupi ya Kanisa Anglikana Tanzania.
ISBN: 9789987753949
Category: Biography
Tags: Dar es Salaam, dini, Jaji Ramadhani, John Thomas Mhina Sepeku, Kanisa Anglikana, Tanzania, wasifu, Zanzibar
Be the first to review “John Thomas Mhina Sepeku”Cancel Reply
Related products
-

Wasifu wa Siti Binti Saad
Sh 6,000 -

Julius Nyerere: Asante Sana, Thank You, Mwalimu
Sh 30,000 -

Emperor Haile Selassie
Sh 18,000 -

Mtoro bin Mwinyi Bakari
Sh 15,000
Reviews
There are no reviews yet.