Mkuki Na Nyota Publishers

Tendehogo

Sh 6,000

Author(s): S. Edwin Semzaba

Out of stock

SKU: 9789976102598 Categories: , , , , , , Tag:

Tendehogo
Huu ni mchezo wa kumi saba katika mfululizo wa vitabu vya michezo ya kuigiza
kutoka Mkuki na Nyota. Michezo hii imeendelea kuburudisha na kuelimisha
wasomaji wa rika zote tangu ilipochapishwa kwa mara ya kwanza. Kitabu hiki
kama vingine katika mfululizo huu kimechaguliwa kufundishia lugha na drama
mashuleni.

Tendehogo ni tamthiliya inayohusu mfumo wa utumwa na athari zake kwa
wale waliokumbwa nao. Mchezo unaakisi yaliyotokea katika kipindi cha biashara
ya utumwa Afrika Mashariki.

Mchezo unaonyesha Ujasiri, Mivutano, Usaliti na migawanyiko miongoni
mwa watumwa. Vilevile unaonyesha mapambano na migongano iliyoibuka kati
ya watumwa na wamiliki wao hadi kupelekea kilele ambacho hakika kitakusisimua.

Dimensions 195 × 130 mm
Binding

Reviews

There are no reviews yet.

Be the first to review “Tendehogo”

Your email address will not be published. Required fields are marked *