Diwani ya ushairi ya Kiswahili iliyoandikwa na Lenard Mtesigwa, mwandishi aliyekuwa kwenye orodha fupi ya Tuzo ya Safal-Cornell. Diwani hii imeibua dhana moja kuu ambayo pia ni mhimili wa jina la kitabu: binadamu na mtu. Mbali na ukweli kuwa mtu na binadamu ni majina mawili tofauti yanayorejelea kiumbe kimoja, katika diwani hii yanaonekana ni viumbe viwili tofauti ila vyenye nasaba moja: binadamu akiwa amebeba dhana ya mzoga, na mtu mumo humo, utu ukiwa amebeba dhana ya kunukia. Kwa maana nyingine, binadamu ni yule kiumbe razini mwenye chembechembe za uhayawani ndani yake, ilhali mtu ni kiumbe razini aliye katika ukamilifu wa urazini kwa matendo pendekea katika jamii ya warazini. Dhana inaibua maovu (mzoga) na mema (kunukia). Lenard Mtesigwa ni mwandishi wa tamthilia, riwaya, na hadithi fupi za Kiswahili, aliyeanza kazi ya utunzi mwaka 2015 katika Chuo Kikuu cha Kimataifa cha Kampala cha Tanzania.

Mzoga Unaonukia
Author(s): binadamu, diwani, Kampala, Kiswahili, Lenard Mtesigwa, mtu, Safal-Cornell, ushairi
Sh 12,000
Diwani ya ushairi ya Kiswahili ya Lenard Mtesigwa, mwandishi wa orodha fupi ya Safal-Cornell. Ubini wa kichwa ni dhana ya binadamu (mzoga) na mtu (kunukia) kama viumbe viwili vyenye nasaba moja: maovu na mema vikishindana ndani ya kiumbe kimoja.
| Dimensions | 195 × 130 mm |
|---|---|
| Binding |
You may also like…
-

The African Epic Controversy
Sh 45,000




Reviews
There are no reviews yet.