Riwaya ya Kiswahili iliyoandikwa na Ali Hilal Ali, mzaliwa wa Kisiwani Pemba, Zanzibar. Riwaya hii ilishinda na kupewa Tuzo ya Mabati-Cornell ya Fasihi ya Afrika kwa mwaka 2017. Katika tangazo la ushindi, jopo la majaji lilielezea kwamba si mno mtu kukutana na riwaya ya Kiswahili ambayo mwandishi wake amejidhihirisha kuwa ni mbuji wa lugha fasaha na ya kisanii, inayotiririka kitabia kwa hiari yake, bila dalili zozote kwamba imelazimishwa. Wahusika wote wamebuniwa kwa ustadi, na kupewa kazi mwafaka za kuziwakilisha tanzu na matabaka mbalimbali ya jamii, pamoja na mikinzano yao ya kihistoria, kisiasa, kisaikolojia, na kitamaduni. Ingawa matukio yanatokea katika kisiwa cha kubuni, masuala yanayojadiliwa ni miongoni mwa yale sugu yanayoendelea kulisumbua bara la Afrika kisiasa, kijamii, na kiuchumi. Riwaya inafuatilia Bi. Msiri, aliyeponea chupuchupu kuteketezwa pamoja na familia yake, na jinsi anavyokuja kuyasimulia mengi yaliyotiwa kapuni.

Mmeza Fupa
Author(s): Ali Hilal Ali, Kiswahili, Mabati-Cornell, Pemba, riwaya, Safal-Cornell, tuzo ya fasihi, Zanzibar
Sh 18,000
Riwaya ya Kiswahili ya Ali Hilal Ali kutoka Pemba, Zanzibar, iliyoshinda Tuzo ya Mabati-Cornell ya Fasihi ya Afrika ya 2017. Bi. Msiri anaponea chupuchupu kuteketezwa na familia yake, na baadaye anasimulia mengi yaliyotiwa kapuni. Lugha fasaha na wahusika waliobuniwa kwa ustadi, wenye mikinzano ya kihistoria na kitamaduni.
ISBN: 9789987083794
Category: Fiction
Tags: Ali Hilal Ali, Kiswahili, Mabati-Cornell, Pemba, riwaya, Safal-Cornell, tuzo ya fasihi, Zanzibar
| Weight | 0.5 kg |
|---|---|
| Dimensions | 195 × 130 mm |
| Binding | |
| Pages | |
| Year published |
Be the first to review “Mmeza Fupa”Cancel Reply
Related products
-

Tippu Tip
Sh 35,000 -

Sea Level: A Portrait of Zanzibar
Sh 45,000 -

Aspects of Colonial Tanzania History
Sh 30,000 -

Remembering the Revolution in Zanzibar
Sh 30,000
Reviews
There are no reviews yet.