Diwani ya ushairi ya Kiswahili iliyoandikwa na Christopher Bundala Budebah, mshindi wa Tuzo ya Safal-Cornell na ya Jubilei ya miaka 75 ya TUKI. Diwani hii ina mashairi mesto yatakayomwezesha msomaji kujitanua bila ukinzani wa uguni na usiguni, usasa na umapokeo, hivyo azingatie fani, maudhui, na muktadha. Dhana zilizodokezwa ni ukoloni mamboleo, usaliti, mila potofu, ukatili, unyanyasaji wa kijinsia, haki za mtoto, UKIMWI, rushwa, kiwi ya akili, uwajibikaji, na nyinginezo. Budebah alizaliwa mwaka 1956 huko Maswa, Simiyu. Ni mhitimu wa M.A. Kiswahili, Stashahada ya Uzamili ya Ualimu, Shahada ya Kwanza ya Sanaa za Maonyesho, na Cheti cha Sanaa za Maonyesho. Ameshiriki makongamano ya Kiswahili ya kimataifa huko Chuo Kikuu cha Makerere, Uganda, Chuo Kikuu cha Nairobi, Kenya, na Chuo Kikuu cha Mtakatifu John, Dodoma. Ametoa makala katika jarida la Kiswahili la Kioo cha Lugha.

Kifaurongo
Author(s): Christopher Bundala Budebah, diwani, Kiswahili, Mabati-Cornell, Maswa, Safal-Cornell, TUKI, ushairi
Sh 10,000
Diwani ya ushairi ya Kiswahili ya Christopher Bundala Budebah, mshindi wa Tuzo ya Safal-Cornell na ya Jubilei ya miaka 75 ya TUKI. Mashairi yanayodokeza ukoloni mamboleo, usaliti, mila potofu, haki za mtoto, UKIMWI, rushwa, na uwajibikaji. Budebah ni mhitimu wa M.A. Kiswahili.
| Dimensions | 195 × 130 mm |
|---|---|
| Binding |
You may also like…
-

The African Epic Controversy
Sh 45,000




Reviews
There are no reviews yet.