Mkuki Na Nyota Publishers

Kikosi cha Kisasi

Author(s): A. E. Musiba, Afrika, Kinshasa, Kiswahili, mfululizo, OAU, riwaya ya kusisimua, Willy Gamba

Sh 10,000

Riwaya ya kusisimua ya Kiswahili ya A. E. Musiba kutoka mfululizo wa Willy Gamba. OAU inamwagiza mpelelezi nguli Willy Gamba kuongoza kikosi cha kuwasaka wauaji wa viongozi wa wapigania uhuru jijini Kinshasa. Patashika inapoanza, jiji la starehe linageuka uwanja wa mapambano.

Riwaya ya kusisimua ya Kiswahili ya A. E. Musiba kutoka mfululizo wa Willy Gamba, mpelelezi maarufu wa Afrika. Ni nani hasa anayewaua viongozi wa wapigania uhuru? Kwa nini wengi wa viongozi hawa wameuawa jijini Kinshasa kuliko mahali pengine popote Afrika? Ili kukomesha vitendo hivi vya kijahili, Umoja wa Nchi Huru za Kiafrika (OAU) unakata shauri kuwasaka wauwaji hawa na kuwafagilia mbali. Willy Gamba anachaguliwa kuongoza kikosi cha wapelelezi wa Kiafrika kuwasaka. Kinshasa, jiji linalosifika kwa starehe zake, linageuka uwanja wa mapambano kati ya vijana wapiganaji shupavu wakiongozwa na Willy Gamba na wapinga mapinduzi wakiongozwa na Kaburu Pierre Simonard. Willy pamoja na kikosi chake wanalivamia jiji kuhakikisha mauaji yanakomeshwa.

Weight 0.4 kg
Dimensions 195 × 130 mm
Binding

Pages

Year published

Reviews

There are no reviews yet.

Be the first to review “Kikosi cha Kisasi”

Your email address will not be published. Required fields are marked *