Hadithi hii inamhusu kijana Mayunga aliyechukuliwa na jamii alimokuwa akiishi kama ni punguani. Lakini ujasiri na ubunifu wake unamwezesha kuliua Zimwi liliokuwa likiwateka wasichana na hatimaye kuwaokoa. Mfalme anaamua kumwoza binti yake; sasa Mayunga anakuwa sio punguani bali mtu mkubwa na maarufu. Fuatilia kisa chenyewe kwa makini kitabuni.

Zimwi la Mrima
Author(s): Fatma S. Rawah, hadithi za watoto, Kiswahili, Mrima, picha, pwani, watoto, zimwi
Sh 5,000
Hadithi hii inamfuata Mayunga, kijana aliyedharauliwa na jamii. Kwa kutumia ujasiri, busara na ubinifu wake, anafanikiwa kukubaliana na Zimwi liliokua likiwateka wasichana. Baada ya kuwaokoa, anapata heshima kubwa kutoka kwa jamii na mfalme.
| Weight | 0.4 kg |
|---|---|
| Dimensions | 100 × 100 mm |
| Binding |




Reviews
There are no reviews yet.