Kitabu cha nne katika mfululizo wa Uwazi na Ukweli vyenye mkusanyo wa hotuba za kila mwisho wa mwezi za Rais Benjamin W. Mkapa. Katika toleo hili, Rais anajadili masuala muhimu: ulazima wa kuweka Bajeti Ndogo ili kugharimia athari za ukame kama vile uhaba wa chakula na uzalishaji wa umeme; gharama za uandaaji wa Daftari la Kudumu la Wapiga Kura; Ripoti ya Tume ya Kimataifa kuhusu Masuala ya Kijamii katika Utandawazi; ushirikiano wa utatu kati ya Serikali, wananchi, na wahisani katika kupiga vita umaskini; umuhimu wa kushiriki katika Tume ya Kimataifa iliyoanzishwa na Tony Blair; dhana halisi ya Bajeti ya Taifa; dhima ya wananchi na Serikali katika vita dhidi ya UKIMWI; ushirikiano na jeshi la polisi kupunguza uhalifu; uanzishaji wa Mpango wa Maendeleo ya Elimu ya Sekondari (MMES) kufuatia Mpango wa Maendeleo ya Elimu ya Msingi (MMEM); na MKURABITA.

Uwazi na Ukweli – 4
Author(s): Awamu ya Tatu, bajeti, Benjamin W. Mkapa, elimu, hotuba, Kiswahili, ukame, Uwazi na Ukweli
Sh 7,000
Kitabu cha nne katika mfululizo wa Uwazi na Ukweli cha hotuba za Rais Benjamin W. Mkapa. Inazungumzia bajeti ya ukame, Daftari la Wapiga Kura, Tume ya Blair, utandawazi wa kijamii, MMES na MMEM, UKIMWI, ushirikiano na polisi, na MKURABITA.
| Weight | 0.4 kg |
|---|---|
| Dimensions | 205 × 143 mm |
| Binding |




Reviews
There are no reviews yet.