Mkuki Na Nyota Publishers

Adili na Nduguze

Author(s): African literature, allegory, fasihi ya Kiswahili, secondary school texts, Shaaban Robert, Swahili literature, Tanzanian classic

Sh 6,000

Toleo jipya la kazi ya fasihi ya Shaaban Robert, mshairi wa taifa wa Kiswahili, iliyochapishwa mara ya kwanza mwaka 1980. Hadithi ya malaika, majini na viumbe wa ajabu hubeba maudhui ya ardhi, biashara na mahusiano ya ndugu. Hutumika sana shule za sekondari. A new edition of a classic of Swahili literature by the national poet Shaaban Robert.

Toleo jipya la kazi ya kifasihi ya Shaaban Robert, iliyochapishwa mara ya kwanza mwaka 1980. Imeandikwa na mwandishi anayefahamika kama msahiri wa taifa wa lugha ya Kiswahili, kitabu hiki kinatumia hadithi ya malaika na majini na viumbe wa ajabu kama njia ya kufikisha maudhui mazito yahusuyo maisha ya kila siku: ardhi na mimea yake, machimbo na hazina zake, mifugo na mazao yake, biashara na faida yake, safari na manufaa yake, utajiri na umaskini, na mahusiano kati ya ndugu. Kazi hii hutumika sana katika kufundisha fasihi ya Kiswahili katika shule za sekondari. Inasambazwa kimataifa na African Books Collective.

A new edition of Shaaban Robert’s classic Swahili literary work, first published in 1980. Widely used in the teaching of Swahili literature at secondary school level. Internationally distributed by African Books Collective.

Weight 0.1 kg
Dimensions 203 × 131 mm
Binding

Pages

Reviews

There are no reviews yet.

Be the first to review “Adili na Nduguze”

Your email address will not be published. Required fields are marked *