Mkuki Na Nyota Publishers

Methali za Kiswahili Kitabu Cha 1

Author(s): fasihi, Kiswahili, kitabu cha shule, lugha, Maryam Abdulhamid, methali, mfululizo, sekondari

Sh 6,000

Kitabu cha kwanza katika mfululizo wa vitabu vitatu vya Methali za Kiswahili cha Maryam Abdulhamid. Kina methali 125 zilizopangwa kiabjadi, zikiwa na maelezo ya maana, hekima, na matumizi. Kitabu cha shule kwa wanafunzi wa sekondari, walimu wa Kiswahili, na wapenzi wa lugha.

Kitabu cha kwanza katika mfululizo wa vitabu vitatu vya Methali za Kiswahili, kilichoandikwa na Maryam Abdulhamid. Kina methali mia moja na ishirini na tano za Kiswahili. Methali zimepangwa kiabjadi, na kila methali imeelezewa maana yake, hekima yake, na jinsi inavyotumiwa. Ni kitabu muhimu kwa kila mwalimu na mwanafunzi wa Kiswahili, na kila aipendaye lugha hii. Kinafaa kwa wanafunzi wa shule za sekondari, walimu wa Kiswahili, na wasomaji wote wanaotaka kuelewa utajiri wa methali za lugha yetu. Methali ni sehemu muhimu ya fasihi simulizi ya Kiswahili na kipimo cha hekima na busara ya jamii za Waswahili. Kitabu hiki kinafanya methali ziwe rahisi kuelewa na kutumia katika mazungumzo ya kila siku na katika maandishi.

Weight 0.01 kg
Binding

Reviews

There are no reviews yet.

Be the first to review “Methali za Kiswahili Kitabu Cha 1”

Your email address will not be published. Required fields are marked *