Mkuki Na Nyota Publishers

Ushujaa wa Fatuma

Authors: Fedha S. Bosse

Sh 5,000

Fedha S. Bosse

SKU: 9987686893 Categories: , , , Tag:

Ni hekaheka za sherehe ya harusi. Watu wazima wanakimbia na kuhangaikia shughuli hiyo. Wanatoa nafasi ndogo kwa watoto. Hawawasikilizi. Hawawajali. Msichana shujaa, Fatuma, anatumia mbuny ya juu kuwakumbusha watu wazima kuwa hata wao, yaani watot, wapo pia. Alifanyaje? soma ugundue.