Riwaya ya kusisimua ya Kiswahili ya A. E. Musiba kutoka mfululizo wa Willy Gamba. Baada ya kufunga ndoa na mpenzi wa maisha yake, Willy Gamba anakuwa mtu mpya asiyetaka kujihusisha tena na purukushani zinazoweza kuhatarisha maisha yake na familia yake. Maamuzi yake hayo yanakosa nguvu pale anapolazimika kuwatolea uvivu viongozi wa Kiafrika ambao wametawaliwa na tamaa ya kubaki kwenye madaraka ili wajilimbikizie utajiri, huku Waafrika wakizidi kudidimia katika dimbwi la umaskini na migogoro ya kisiasa. Safari hii Willy Gamba anajikuta Rwanda, akitafuta ukweli wa vipi mamilioni ya wananchi waliuawa na wananchi wenzao huku Afrika na dunia wakiangalia bila kutoa msaada wowote. Uzito wa suala hili unampelekea Willy Gamba kupambana na usaliti na ujahili wa kimataifa ambao uko tayari kuendeleza utawala wa mabavu ili tu maslahi ya watu wachache wenye ubinafsi yaweze kulindwa.

Uchu
Author(s): A. E. Musiba, Kiswahili, madaraka, mauaji ya kimbari, riwaya ya kusisimua, Rwanda, ujasusi, Willy Gamba
Rated 5.00 out of 5 based on 1 customer rating
(1 customer review)
Sh 10,000
Riwaya ya kusisimua ya Kiswahili ya A. E. Musiba kutoka mfululizo wa Willy Gamba. Baada ya kufunga ndoa, Willy anatakiwa kurudi kazini na kufuatilia mauaji ya kimbari ya Rwanda, akipambana na usaliti wa kimataifa unaolinda utawala wa mabavu. Viongozi wa Kiafrika wanatafakariwa kwa ukali.
ISBN: 9789987084746
Category: Fiction
Tags: A. E. Musiba, Kiswahili, madaraka, mauaji ya kimbari, riwaya ya kusisimua, Rwanda, ujasusi, Willy Gamba
| Weight | 0.5 kg |
|---|
1 review for Uchu
Add a reviewCancel Reply
Related products
-

Kusadikika
Sh 7,000 -

Kikomo
Sh 8,000 -

If She Were Alive
Sh 10,000 -

Imaginary Crimes
Sh 15,000
Vijana FM –
Fantastic read!