Mkuki Na Nyota Publishers

Stadi za Ujasiriamali

Author(s): biashara, Kenya, Kiswahili, kitabu cha msaada, maarifa, mauzo, Murori Kiunga, ujasiriamali

Sh 20,000

Kitabu cha Kiswahili cha ujasiriamali cha Murori Kiunga kutoka Nairobi. Mikakati ya mafanikio kwenye soko lenye ushindani: kujitathmini, kuchagua biashara, kuepuka matumizi yasiyo ya lazima, kutumia maarifa na teknolojia. Kwa wajasiriamali wapya na waliopo katika mazingira ya Kiafrika.

Kitabu cha Kiswahili cha ujasiriamali kilichoandikwa na Murori Kiunga, mjasiriamali na mkufunzi mahiri kutoka Nairobi, Kenya. Kuanzisha biashara yenye mafanikio inahitaji zaidi ya mtaji, bidhaa za kuuza, na dhamira ya kupata faida; inahitaji sifa fulani na mikakati mahsusi iliyowahi kufikiwa na wajasiriamali waliotangulia. Kitabu hiki kinaeleza mikakati ya mafanikio kwenye soko lenye ushindani, kikibeba maarifa katika lugha rahisi na mifano halisi. Msomaji atajifunza jinsi ya kujitathmini kama ujasiriamali ni fani sahihi kwake, kuchagua biashara sahihi na mfumo wa uendeshaji unaomfaa, kutambua na kuwekeza katika mawazo mazuri, kuanzisha na kuendesha biashara kwa ufanisi, kuwatangulia washindani kupitia maarifa na teknolojia, kuepuka matumizi yasiyo ya lazima yanayodidimiza makampuni, kutumia njia rahisi za kupata masoko, na kuepuka makosa yaliyozoeleka yanayopelekea biashara kuporomoka. Murori Kiunga pia ameandika The Art of Entrepreneurship, The Winning Character, na The 7 Pillars of Financial Success.

Weight 0.5 kg
Dimensions 230 × 150 mm
Binding

Pages

Year published

Reviews

There are no reviews yet.

Be the first to review “Stadi za Ujasiriamali”

Your email address will not be published. Required fields are marked *