Mkuki Na Nyota Publishers

Hawala ya Fedha

Sh 6,000

Amandina Lihamba

Tamthilia hii, ambayo inatokana na riwaya, The Money Order, iliyoandikwa na mwandishi mashuhuri wa Senegal, Sembene Ousmane, inajadili mfumo wa umangi–meza uliorithiwa na nchi nyingi za Afrika kutoka kwa Wakoloni pamoja na athari zake kwa jamii. Ibrahim Chande anafurahi sana anapopokea hawala ya shilingi 2,000/= kutoka kwa mpwaye aliyeko masomoni Landani. Lakini anashindwa kuzuia habari hizo nzuri kuwafikia majirani na watu wenye maduka mtaani kwao. Wote wanamzengea wakitazamia chochote kutokana na fedha hizo, licha ya kwamba zote si zake. Hata hivyo, matatizo ya urasimu yanajiingiza kati yake na fedha hizo.

International availability:
This book is internationally distributed by African Books Collective

Dimensions 195 × 130 mm
Binding

Pages

Reviews

There are no reviews yet.

Be the first to review “Hawala ya Fedha”

Your email address will not be published. Required fields are marked *