Mkuki Na Nyota Publishers

Aliyeonja Pepo

Sh 6,000

Farouk Topan

 

Juma Hamisi, Muislam safi kutoka Bagamoyo anafariki, na roho yake inaenda Mbinguni. Baadaye inafahamika kuwa hili ni kosa kubwa lililofanywa na Ziraili, Malaika mtoa roho. John Houghton wa Uingereza ndiye aliyestahili kutolewa roho siku hiyo. Ili kutatua tatizo hili, roho ya Juma Hamisi inabidi irudishwe duniani. Baada ya majadiliano ya muda na ili kuficha kosa hili lisigunduliwe, Ziraili na wenzake wanakubaliana kuirudisha roho ya Juma katika mwili mwingine, hata kama ni mwili wa paka.

About the Author (from Wikipedia):
Farouk Topan is the director of the Swahili Centre at the Aga Khan University. He is a specialist in the language and literature of the Swahili people. He has written two plays, Mfalme Juha (1971), and Aliyeonja Pepo (1973), the second of which was published in an English translation in 1980.

His first academic job was in 1968, at the University of Dar es Salaam where he taught Swahili literature in Kiswahili. In 1969 he started a BA in Swahili and linguistics with professor Abdul Aziz. In 1970, he became chairperson of the department of Swahili at the University of Dar es Salaam. After completing his PhD in 1972, he worked at the University of Nairobi, in London, and then at the University of Riyadh. Among his students at Dar es Salaam and Nairobi were the future playwrights Hussein Ibrahim and John Habwe.

Topan has taught at the University of Dar es Salaam, the Institute of Ismaili Studies, and the School of Oriental and African Studies.

International availability:
This book is internationally distributed by African Books Collective

Dimensions 195 × 130 mm
Binding

Pages

Reviews

There are no reviews yet.

Be the first to review “Aliyeonja Pepo”

Your email address will not be published. Required fields are marked *