Mkuki Na Nyota Publishers

Kolonia Santita: Laana ya Panthera Tigrisi

Author(s): Enock Maregesi, Kiswahili, Kolombia, madawa ya kulevya, Meksiko, riwaya, Safal-Cornell, WODEC

Sh 30,000

Riwaya ya kusisimua ya kijasusi ya Enock Maregesi, mshindi wa Tuzo ya Safal-Cornell. Vita kati ya Tume ya Dunia ya Umoja wa Mataifa ya Kudhibiti Madawa ya Kulevya na shirika la Kolonia Santita la Kolombia na Meksiko. Shehena za madawa na malighafi ya nyukilia, operesheni za kimataifa. RIGHTS-CANDIDATE.

Riwaya ya kusisimua ya kijasusi ya Kiswahili iliyoandikwa na Enock Maregesi, mshindi wa Tuzo ya Safal-Cornell. Hii ni riwaya ya kusisimua ya kijasusi na madawa ya kulevya, inayozungumzia vita kati ya Tume ya Dunia ya Umoja wa Mataifa ya Kudhibiti Madawa ya Kulevya na Ugaidi wa Kimataifa (World Drugs Enforcement Commission, WODEC) na shirika kubwa la madawa ya kulevya la Kolonia Santita (CS-14) la Kolombia na Meksiko. Riwaya inaelezea kwa kinagaubaga jitihada za pamoja kati ya Tume ya Dunia, Marekani, na Meksiko za kuwasaka na hatimaye kuwatia nguvuni viongozi nduli wa CS-14, na kuzuia shehena kubwa ya madawa ya kulevya na malighafi ya nyukilia kwenda Afrika, Asia, Amerika, na Ulaya. Ukisoma kitabu hiki utajiuliza jinsi mwandishi alivyoweza kusuka riwaya inayoufanya moyo kuenda mbio. Enock Maregesi ni gwiji wa uandishi wa riwaya za kijasusi, na Kolonia Santita imeweka kiwango kipya cha juu kitakachowaumiza vichwa waandishi wengine.

Dimensions 195 × 130 mm
Binding

Reviews

There are no reviews yet.

Be the first to review “Kolonia Santita: Laana ya Panthera Tigrisi”

Your email address will not be published. Required fields are marked *

You may also like…