Wasifu wa Siti Binti Saad, mzaliwa wa Unguja, aliyejulikana kama Malkia wa Taarab. Umeandikwa na Nasra Mohamed Hilal. Wapenzi wa muziki wa Taarab wana deni kubwa kwa mwimbaji huyu maarufu ambaye, katika uhai wake na baadaye, aliuchukua muziki wa Taarab, akaupa sura mpya, akaubeba, na kuufikisha katika ngazi ya kimataifa. Licha ya kuwa waimbaji wengi wa Taarab wamekuja na kuondoka, hakuna ambaye amefikia kilele alichofika Siti Binti Saad. Hayati Shaaban Robert, ambaye naye alikuwa na kipaji cha pekee katika uwanja wa ushairi wa Kiswahili, alihusudu uimbaji wake na kushangilia maendeleo yake kiasi cha kuandika kitabu juu yake kiitwacho Wasifu wa Siti Binti Saad. Kitabu cha Nasra Mohamed Hilal ni wasifu wa kisasa wa Malkia huyu maarufu wa Taarab.

Mfinyanzi Aingia Kasri
Author(s): Kiswahili, muziki, Nasra Mohamed Hilal, Siti Binti Saad, Taarab, Unguja, wasifu, Zanzibar
Sh 8,000
Wasifu wa Kiswahili wa Siti Binti Saad, Malkia wa Taarab, iliyoandikwa na Nasra Mohamed Hilal. Mwimbaji kutoka Unguja aliyeupa muziki wa Taarab sura mpya na kuufikisha katika ngazi ya kimataifa. Earlier biography Wasifu wa Siti Binti Saad was written by Shaaban Robert. Internationally distributed by African Books Collective.
ISBN: 9789987449460
Category: Biography
Tags: Kiswahili, muziki, Nasra Mohamed Hilal, Siti Binti Saad, Taarab, Unguja, wasifu, Zanzibar
Be the first to review “Mfinyanzi Aingia Kasri”Cancel Reply
Related products
-

Aspects of Colonial Tanzania History
Sh 30,000 -

Remembering the Revolution in Zanzibar
Sh 30,000 -

Julius Nyerere
Sh 18,000 -

Julius Nyerere: Asante Sana, Thank You, Mwalimu
Sh 30,000
Reviews
There are no reviews yet.